Kenya yachagua kikosi cha kuteka dunia mbio za nyika

MABINGWA mara 23 wa dunia Kenya wamechagua kikosi cha kudondosha mate kwa makala ya 45 ya Mbio za Nyika za Dunia zitakazofanyika jijini Belgrade, Serbia mnamo Machi 30, 2024.

Agnes Ngetich, Emmaculate Anyango na Lilian Kasait wanaokamata nafasi tatu za kwanza kwa muda bora duniani mwaka huu katika mbio za kilomita 10 za barabarani wa dakika 28:46, 28:57 na 29:32, mtawalia, wako katika kikosi cha taifa cha wakimbiaji 30 kilichochaguliwa katika uwanja wa Chuo cha Mafunzo cha Magereza mjini Ruiru, Kiambu, Jumamosi.

Beatrice Chebet na Ngetich waliozoa dhahabu na shaba mtawalia kwenye Mbio za Nyika za Dunia 2023 nchini Australia, bingwa wa 21km kwenye Riadha za Dunia za Barabarani 2023 Margaret Chelimo pamoja na mshindi wa mbio za nyika za majeshi Cintia Chepngeno wanakamilisha orodha ya washiriki sita watakaotimka kitengo cha 10km cha wanawake. Chepngeno alikosa kumaliza mbio nchini Australia kwa hivyo amepata fursa nzuri ya kujifariji.

Bingwa wa dunia 21km kwenye Riadha za Dunia za Barabarani 2023 Sebastian Sawe ataongoza kikosi cha 10km wanaume kilicho na mfalme wa mbio za nyika kitaifa 2022 Samuel Chebolei, bingwa wa dunia mara mbili mbio za nyika Geoffrey Kamworor pamoja na Gideon Rono, Benson Kiplagat na bingwa wa dunia kitengo cha chipukizi 2023 Ishmael Kipkurui.

“Nilikuwa na matumaini makubwa ya kutwaa tiketi. Mpango wangu wa kutoonekana na kuchomoka zikisalia mita 500 naona ulifanya kazi vizuri,” akasema Sawe anayelenga medali jijini Belgrade.

Reynold Cheruiyot aliyemaliza nyuma ya Kipkurui pamoja na washindi wa dhahabu ya mbio mseto Emmanuel Wanyonyi na Kyumbe Munguti, sawa na Diana Chepkemoi, Emmanuel Wanyonyi na Charles Rotich watapata fursa ya kuimarisha matokeo yao kutoka mwaka 2023.

Timu ya chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20 ya Kenya inajumuisha Sheila Chebet, Deborah Chemutai, Nancy Cherop, Mercy Chepkemoi, Diana Cherotich na Diana Chepkemoi (wanawake kilomita sita) na Samuel Kibathi, Charles Rotich, Mathew Kipkoech, Jonah Erot, Shadrack Rono na Gideon Kipngetich (wanaume kilomita nane).

Cheruiyot, Wanyonyi, Munguti, Virginia Nyambura, Mercy Wanjiru na Purity Chepkirui watashiriki mbio mseto.

Connexion utilisateur

Commentaires récents

  • Tant qu'ils ne chantent pas "Marine au pouvoir, les Noirs dans les fours crématoires !"...

    @Lidé, le but des exterminations nazies

    Frédéric C.

    27/06/2026 - 16:57

    ...n’était pas "capitaliste" au sens "faire le maximum de fric", mais exterminer sciemment et déf Lire la suite

  • Tant qu'ils ne chantent pas "Marine au pouvoir, les Noirs dans les fours crématoires !"...

    Suprémacistes

    @Lidé

    27/06/2026 - 12:59

    Frédéric il faut dire que le génocide des juifs est une opération capitaliste totale.
    Lire la suite

  • Tant qu'ils ne chantent pas "Marine au pouvoir, les Noirs dans les fours crématoires !"...

    "LE PLUS PEDAGOGIQUE POSSIBLE" ???!

    Albè

    26/06/2026 - 18:46

    Au moment où je rédige ce commentaire je vois le chiffre ridicule de 113 vues au bas de cet artic Lire la suite

  • Tant qu'ils ne chantent pas "Marine au pouvoir, les Noirs dans les fours crématoires !"...

    Merci pour cet article...

    Frédéric C.

    26/06/2026 - 18:06

    ...FK sonne régulièrement l’alerte par rapport à l’arrivée pleine et entière de l’Extrême-Droite Lire la suite

  • Tant qu'ils ne chantent pas "Marine au pouvoir, les Noirs dans les fours crématoires !"...

    Bon, pour une fois je vais rigoler avec ça...

    Frédéric C.

    26/06/2026 - 17:42

    ...les fours crématoires c’était pour se débarrasser des macchabées. Lire la suite

  • Les Trois-ilets menacés de destruction massive (Suite)

    AUCUN ELU ECOLOGISTE EN MARTINIQUE !

    Albè

    24/06/2026 - 11:57

    Sauf un élu de la CTM qui s'est présenté aux municipales du Carbet dernièrement et qui a été batt Lire la suite

  • Ben dis donc, sont chauds lapins ces circoncis !

    réponses

    @Lidé

    23/06/2026 - 16:29

    Pourquoi autant d'affects?
    Lire la suite

  • Ben dis donc, sont chauds lapins ces circoncis !

    KALINAGOS ???!

    Albè

    23/06/2026 - 07:59

    Arrêtez votre délire ! Lire la suite

  • Ben dis donc, sont chauds lapins ces circoncis !

    Concernant les Amérindiens !!!!!!!!!

    @Lidé

    23/06/2026 - 02:40

    Pourquoi fondas et les autres gardent ignorés la réalité du comportement des amérindiens esclava Lire la suite

  • Ben dis donc, sont chauds lapins ces circoncis !

    Albè vous jouez sur les mots...

    Frédéric C.

    22/06/2026 - 14:00

    ...rapport au substantif "raison". Mon dernier message voulait dire "an nou tÿoué kozé-a".

    Lire la suite