Kenya yachagua kikosi cha kuteka dunia mbio za nyika

MABINGWA mara 23 wa dunia Kenya wamechagua kikosi cha kudondosha mate kwa makala ya 45 ya Mbio za Nyika za Dunia zitakazofanyika jijini Belgrade, Serbia mnamo Machi 30, 2024.

Agnes Ngetich, Emmaculate Anyango na Lilian Kasait wanaokamata nafasi tatu za kwanza kwa muda bora duniani mwaka huu katika mbio za kilomita 10 za barabarani wa dakika 28:46, 28:57 na 29:32, mtawalia, wako katika kikosi cha taifa cha wakimbiaji 30 kilichochaguliwa katika uwanja wa Chuo cha Mafunzo cha Magereza mjini Ruiru, Kiambu, Jumamosi.

Beatrice Chebet na Ngetich waliozoa dhahabu na shaba mtawalia kwenye Mbio za Nyika za Dunia 2023 nchini Australia, bingwa wa 21km kwenye Riadha za Dunia za Barabarani 2023 Margaret Chelimo pamoja na mshindi wa mbio za nyika za majeshi Cintia Chepngeno wanakamilisha orodha ya washiriki sita watakaotimka kitengo cha 10km cha wanawake. Chepngeno alikosa kumaliza mbio nchini Australia kwa hivyo amepata fursa nzuri ya kujifariji.

Bingwa wa dunia 21km kwenye Riadha za Dunia za Barabarani 2023 Sebastian Sawe ataongoza kikosi cha 10km wanaume kilicho na mfalme wa mbio za nyika kitaifa 2022 Samuel Chebolei, bingwa wa dunia mara mbili mbio za nyika Geoffrey Kamworor pamoja na Gideon Rono, Benson Kiplagat na bingwa wa dunia kitengo cha chipukizi 2023 Ishmael Kipkurui.

“Nilikuwa na matumaini makubwa ya kutwaa tiketi. Mpango wangu wa kutoonekana na kuchomoka zikisalia mita 500 naona ulifanya kazi vizuri,” akasema Sawe anayelenga medali jijini Belgrade.

Reynold Cheruiyot aliyemaliza nyuma ya Kipkurui pamoja na washindi wa dhahabu ya mbio mseto Emmanuel Wanyonyi na Kyumbe Munguti, sawa na Diana Chepkemoi, Emmanuel Wanyonyi na Charles Rotich watapata fursa ya kuimarisha matokeo yao kutoka mwaka 2023.

Timu ya chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20 ya Kenya inajumuisha Sheila Chebet, Deborah Chemutai, Nancy Cherop, Mercy Chepkemoi, Diana Cherotich na Diana Chepkemoi (wanawake kilomita sita) na Samuel Kibathi, Charles Rotich, Mathew Kipkoech, Jonah Erot, Shadrack Rono na Gideon Kipngetich (wanaume kilomita nane).

Cheruiyot, Wanyonyi, Munguti, Virginia Nyambura, Mercy Wanjiru na Purity Chepkirui watashiriki mbio mseto.

Connexion utilisateur

Commentaires récents

  • « Quand l'Etat engagera-t-il enfin une véritable reconquête de fraternité territoriale en Martinique avec des moyens à la hauteur des enjeux ? »

    réponse au suprémacistes

    @Lidé

    13/04/2026 - 11:26

    Je répond à cet étron qui comme marco rubio se glorifie des crimes de ces
    Lire la suite

  • « Quand l'Etat engagera-t-il enfin une véritable reconquête de fraternité territoriale en Martinique avec des moyens à la hauteur des enjeux ? »

    QUEL RAPPORT AVEC...

    Albè

    13/04/2026 - 11:20

    ...l'article ce truc de "Français qui ont commencé avant les Allemands" ? Lire la suite

  • « Quand l'Etat engagera-t-il enfin une véritable reconquête de fraternité territoriale en Martinique avec des moyens à la hauteur des enjeux ? »

    +nazi avant les nazis

    @Lidé

    13/04/2026 - 10:42

    Les français ont commencé avant les allemands
    pays de merde!

    Lire la suite
  • « Quand l'Etat engagera-t-il enfin une véritable reconquête de fraternité territoriale en Martinique avec des moyens à la hauteur des enjeux ? »

    "Fraternité territoriale"? Kra kra! Je ne l’avais...

    Frédéric C.

    13/04/2026 - 09:54

    ...jamais entendu ni lue celle-là! Lire la suite

  • « Quand l'Etat engagera-t-il enfin une véritable reconquête de fraternité territoriale en Martinique avec des moyens à la hauteur des enjeux ? »

    WOUAW, LE BRILLANT MATHEATICIEN !

    Albè

    13/04/2026 - 07:44

    Grâce à la rubrique "Commentaires" de FONDAS (organe de presse lu seulement à Fond-Zombi et en Mo Lire la suite

  • « Quand l'Etat engagera-t-il enfin une véritable reconquête de fraternité territoriale en Martinique avec des moyens à la hauteur des enjeux ? »

    La Martinique est française depuis quand ?

    yug

    12/04/2026 - 21:29

    En 2035 ,la Mque sera française depuis 4 siècles révolus. Lire la suite

  • Procès Sarkozy : l'ombre de Béchir Saleh, grand argentier de Kadhafi

    8 MILLIARDS DE DOLLARS

    Albè

    12/04/2026 - 20:11

    Un "castré" qui gère 8 milliards de dollars ? Lire la suite

  • Procès Sarkozy : l'ombre de Béchir Saleh, grand argentier de Kadhafi

    Comme Bilal...un Nègre utile ou prétexte comme vous voulez..

    yug

    12/04/2026 - 20:01

    Vous avez remarqué le nombre de Nègres-prétextes dans les pays arabes ?
    Lire la suite

  • Procès Sarkozy : l'ombre de Béchir Saleh, grand argentier de Kadhafi

    UN BILAL DU...

    Albè

    12/04/2026 - 18:48

    ...21è siècle ou quoi ?

    Lire la suite
  • Lettre ouverte à Fabien Roussel : « Il est temps que tu passes le relais »

    Propos interessants

    @Lidé

    12/04/2026 - 16:24

    Attention Césaire n'a pas réagi par rancoeur, mais par lucidité.
    Lire la suite